Sayansi Inathibitisha Kutoka Mvi kwa Haraka kama Ilivyoelezwa Ndani ya Qur’an
Februari 18 2018, 20:32
'Dhiki na huzuni,' ugonjwa wa zama hizi, si maradhi yanayoishia kisaikolojia tu. Bali madhara yake hujidhihirisha katika kiwiliwili kwa njia mbalimbali. Matatizo makubwa yanayohusishwa na dhiki na huzuni ni magonjwa ya akili, madawa ya kulevya n...